Wimbi la joto Ulaya katika picha
Wimbi la joto linaendelea kote barani Ulaya, huku halijoto katika kisiwa cha Sardinia nchini Italia ikitarajiwa kufikia kiwango cha juu cha 46C (114.8F) siku ya Jumanne.
Kumekuwa na moto wa nyika kwenye kisiwa cha Uhispania cha La Palma na Ugiriki bara.
Shirika la Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani linasema hali mbaya ya hewa inahitaji kuangaziwa kwa makini.

Chanzo cha picha, Reuters
Huko Roma, watalii na wakazi walibarizi mbele ya Ukumbi maarufu wa Kirumi (hapo juu) na kwenye chemchemi za umma ( hapo chini).

Chanzo cha picha, Reuters

Chanzo cha picha, Reuters

Chanzo cha picha, Reuters
Bologna, nchini Italia pia, ilishuhudia matukio kama hayo - ikiwa ni pamoja na mtu mmoja akiendesha baiskeli katikati ya jiji akiwa na feni.

Chanzo cha picha, Reuters

Chanzo cha picha, Reuters

Chanzo cha picha, Reuters

Chanzo cha picha, Reuters
Mtu akijikinga na jua ufukweni kwenye ukingo wa ziwa Ada huko Belgrade, Serbia.

Chanzo cha picha, EPA
Mamlaka zinakabiliana na moto wa nyika katika eneo la Magoula, magharibi mwa Athens, Ugiriki.

Chanzo cha picha, AFP

Chanzo cha picha, AFP
Mioto ya nyikani pia imeteketeza eneo la La Palma, Uhispania.

Chanzo cha picha, Reuters
Picha zote zina haki miliki.












