Wimbi la joto Ulaya katika picha

Iliyochapishwa

Wimbi la joto linaendelea kote barani Ulaya, huku halijoto katika kisiwa cha Sardinia nchini Italia ikitarajiwa kufikia kiwango cha juu cha 46C (114.8F) siku ya Jumanne.

Kumekuwa na moto wa nyika kwenye kisiwa cha Uhispania cha La Palma na Ugiriki bara.

Shirika la Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani linasema hali mbaya ya hewa inahitaji kuangaziwa kwa makini.

A woman pours water on a man near the Colosseum in Rome, Italy

Chanzo cha picha, Reuters

Huko Roma, watalii na wakazi walibarizi mbele ya Ukumbi maarufu wa Kirumi (hapo juu) na kwenye chemchemi za umma ( hapo chini).

People cool off at the Piazza del Popolo in Rome

Chanzo cha picha, Reuters

People cool off at the Piazza del Popolo in Rome

Chanzo cha picha, Reuters

A person cools off at the Piazza del Popolo in Rome, Italy, on 18 July 2023

Chanzo cha picha, Reuters

Bologna, nchini Italia pia, ilishuhudia matukio kama hayo - ikiwa ni pamoja na mtu mmoja akiendesha baiskeli katikati ya jiji akiwa na feni.

A man carries an electric fan with a bike in Bologna, Italy

Chanzo cha picha, Reuters

A woman puts a wet scarf on a man to protect him from the sun in Bologna, Italy

Chanzo cha picha, Reuters

People queue in the heat in Bologna, Italy, on 18 July 2023

Chanzo cha picha, Reuters

People queue to refill their water bottles at the Fountain of Neptune in Bologna, Italy, on 18 July 2023

Chanzo cha picha, Reuters

Mtu akijikinga na jua ufukweni kwenye ukingo wa ziwa Ada huko Belgrade, Serbia.

A woman rests under a parasol at the Ada lake in Belgrade, Serbia

Chanzo cha picha, EPA

Mamlaka zinakabiliana na moto wa nyika katika eneo la Magoula, magharibi mwa Athens, Ugiriki.

Water tanks for firefighting helicopters are pictured after wildfires broke out in the area of Magoula, southwest of Athens, Greece

Chanzo cha picha, AFP

A military Chinook helicopter flies over the area of Magoula, near Athens, Greece

Chanzo cha picha, AFP

Mioto ya nyikani pia imeteketeza eneo la La Palma, Uhispania.

A person looks on as a forest fire burns in Tijarafe on the island of La Palma, Spain

Chanzo cha picha, Reuters

Picha zote zina haki miliki.