Kwa Picha: Maisha ya Askofu Desmond Tutu

Iliyochapishwa

Askofu Mkuu Desmond Tutu alikuwa mtu anayependwa sana kote duniani - hasa kwa jukumu lake katika mapambano ya Afrika Kusini dhidi ya ubaguzi wa rangi. Hapa, tunaangazia maisha ya mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 90.

All images are subject to copyright.