Kwa Picha: Maisha ya Askofu Desmond Tutu

Iliyochapishwa

Askofu Mkuu Desmond Tutu alikuwa mtu anayependwa sana kote duniani - hasa kwa jukumu lake katika mapambano ya Afrika Kusini dhidi ya ubaguzi wa rangi. Hapa, tunaangazia maisha ya mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 90.

Desmond Tutu alipokea Tuzo ya Amani ya Nobel mwaka wa 1984 kwa vita vyake visivyo na vurugu dhidi ya utawala wa wazungu wachache nchini Afrika Kusini.

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Desmond Tutu alipokea Tuzo ya Amani ya Nobel mwaka wa 1984 kwa vita vyake visivyo na vurugu dhidi ya utawala wa wazungu wachache nchini Afrika Kusini.
Tutu, akiwa na mkewe kando yake Leah akicheka baada ya kuteuliwa kuwa Askofu wa mji wa cape Town 1986

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Tutu, akiwa na mkewe kando yake Leah akicheka baada ya kuteuliwa kuwa Askofu wa mji wa cape Town 1986
Tutu, Askofu Mkuu wa kwanza mweusi wa Cape Town, akitembelea kitongoji cha Kagiso, magharibi mwa Johannesburg, karibu 1990.

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Tutu, Askofu Mkuu wa kwanza mweusi wa Cape Town, akitembelea kitongoji cha Kagiso, magharibi mwa Johannesburg, karibu 1990.
Tutu akipiga makofi huku akiwatazama Nelson Mandela na Rais wa Afrika Kusini FW de Klerk wakipokea Tuzo ya Amani ya Nobel kwa kukomesha ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini, 1993

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Tutu akipiga makofi huku akiwatazama Nelson Mandela na Rais wa Afrika Kusini FW de Klerk wakipokea Tuzo ya Amani ya Nobel kwa kukomesha ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini, 1993
Askofu Mkuu Tutu akiwa na Malkia na Rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela (kulia) mjini Cape Town mwaka 1995

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Askofu Mkuu Tutu akiwa na Malkia na Rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela (kulia) mjini Cape Town mwaka 1995
Tutu alipanda jukwaani wakati wa sherehe za London Kusherehekea muongo mmoja wa Uhuru wa Afrika Kusini mwaka wa 2004. Aliuambia umati uliokuwa ukishangilia: "Tuko huru. Tuko huru."

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Tutu alipanda jukwaani wakati wa sherehe za London Kusherehekea muongo mmoja wa Uhuru wa Afrika Kusini mwaka wa 2004. Aliuambia umati uliokuwa ukishangilia: "Tuko huru. Tuko huru."
Wakati wa uzinduzi wa wasifu wake, Tutu: The Authorized Portrait, mwaka wa 2011, Askofu Mkuu alicheza densi kwenye Kanisa Kuu la St George's mjini Cape Town - siku moja kabla ya siku yake ya kuzaliwa ya 80.

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Wakati wa uzinduzi wa wasifu wake, Tutu: The Authorized Portrait, mwaka wa 2011, Askofu Mkuu alicheza densi kwenye Kanisa Kuu la St George's mjini Cape Town - siku moja kabla ya siku yake ya kuzaliwa ya 80.
Tutu alikuwa kwa miongo kadhaa rafiki wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela, na alijawa na hisia wakati akizungumza kwenye mazishi yake mwaka wa 2013.

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Tutu alikuwa kwa miongo kadhaa rafiki wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela, na alijawa na hisia wakati akizungumza kwenye mazishi yake mwaka wa 2013.
Mnamo 2013, Rais wa wakati huo wa Marekani Barack Obama alitembelea Wakfu wa Vijana wa Desmond Tutu kuhusu HIV huko Cape Town.

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Mnamo 2013, Rais wa wakati huo wa Marekani Barack Obama alitembelea Wakfu wa Vijana wa Desmond Tutu kuhusu HIV huko Cape Town.
Kiongozi wa kidini Dalai Lama aonekana hapa mwaka wa 2015 akikatiwa keki ya siku ya kuzaliwa na Tutu katika Shule ya Kijiji cha Watoto chaa Tibet huko Dharmsala, India.

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Kiongozi wa kidini Dalai Lama aonekana hapa mwaka wa 2015 akikatiwa keki ya siku ya kuzaliwa na Tutu katika Shule ya Kijiji cha Watoto chaa Tibet huko Dharmsala, India.
Askofu Mkuu Tutu alikutana na Mwanamfalme Harry na biti mfalme Meghan - Duke na Duchess wa Sussex - na mtoto wao mchanga Archie Mountbatten-Windsor mnamo 2019

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha, Askofu Mkuu Tutu alikutana na Mwanamfalme Harry na biti mfalme Meghan - Duke na Duchess wa Sussex - na mtoto wao mchanga Archie Mountbatten-Windsor mnamo 2019
Leah Tutu akicheza dansi karibu na mumewe (kulia, aliyeketi) wakati wa ibada ya kanisani kusherehekea miaka 90 ya kuzaliwa kwake huko Cape Town, 2021

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Leah Tutu akicheza dansi karibu na mumewe (kulia, aliyeketi) wakati wa ibada ya kanisani kusherehekea miaka 90 ya kuzaliwa kwake huko Cape Town, 2021
Short presentational grey line

All images are subject to copyright.