Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Waafrika waelezea madhila yanayowakuta wakati wa karantini China
Iliyochapishwa
Waafrika wanaoishi katika mji wa Guangzhou wameiambia BBC kuwa wamekuwa wakitolewa kwa nguvu kwenye makazi yao na kuwekwa karantini pamoja na vipimo kuonesha kuwa hawana maambukizi ya virusi vya corona.