BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Mzozo wa Iran: IRGC yadai kushambulia kambi za jeshi la Marekani nchini Kuwait
IRGC ilidai kuharibu ndege tatu za kivita aina ya F-35 za Marekani na na kuharibu ndege zingine tatu katika kambi ya Al-Azraq nchini Jordan
Kutoka Ukraine hadi Zanzibar: Mgahawa uliozaliwa kutokana na vita
Alla, ambaye kabla ya vita alikuwa mhadhiri na baadaye Mkuu wa Kitivo (Dean) katika Chuo Kikuu cha Udaktari cha Kharkiv nchini Ukraine, alijikuta akishindwa kurejea nyumbani baada ya Urusi kuvamia Ukraine tarehe 24 Februari mwaka 2022.
Mazungumzo ya mkataba na Real Madrid na nia ya Arsenal - hatima ya Vinicius Jr ni ipi?
Huenda hakuna jambo la kuvutia zaidi katika masuala ya usajili kwa sasa kuliko hatima ya Vinicius Jr.
Tunajua nini kuhusu mapendekezo kwa Iran kuhusu Mlango bahari wa Hormuz?
Kusitishwa kwa mashambulio kati ya Iran na Marekani kumeimarisha juhudi za kidiplomasia na juhudi za wapatanishi za kutatua mizozo ya pande hizo mbili, kuu kwa sasa ni suala la usafiri wa meli katika Mlango Bahari wa Hormuz.
Ukweli kuhusu alama za Freemasons na maana zake
Utumiaji wa alama hii umeonekana hata kwa wasanii wengine zaidi kama Bentham, Le Barbier, Thomson, Barton na wengine wengi hivyo basi sio ushahidi tosha kuwa alama ya jicho inahusishwa na ushetani lakini pia inaweza kuwa nembo kama yoyote ile.
Nchi 10 zenye viwango vya chini zaidi vya talaka duniani
Wataalamu wanasisitiza kuwa kiwango cha chini cha talaka hakipaswi kutafsiriwa moja kwa moja kuwa ndoa katika nchi hizo zina mafanikio zaidi.
Tetesi za soka Ulaya: Rodri kutua Madrid
Real Madrid ina imani ya kukamilisha usajili wa Rodri kutoka Manchester City, Inter Milan inaweza kufufua harakati za kumsajili Curtis Jones wa Liverpool, huku Aston Villa ikikataliwa ofa yake ya kumnunua mshambuliaji Allan kutoka Palmeiras.
Catherine Nyongesa: Daktari aliyeweka rehani utajiri wake kuokoa wagonjwa wa saratani Kenya
"Nilikuwa naumia sana kumtafutia dada yangu aliyeugua saratani hospitali, daktari na dawa. Hapo ndipo nilipoamua kwamba siku moja ningejenga hospitali ya saratani'', anaeleza Dkt. Catherine Nyongesa.
Dalili ndogo 5 ambazo watu wengi huzipuuzia, lakini zinaweza kuashiria ugonjwa mkubwa
Mabadiliko mwilini huanza taratibu na huweza kuchukuliwa kuwa uchovu wa kawaida au mabadiliko ya maisha ya kila siku. Hata hivyo, zinaweza kuwa onyo la mapema kwamba mwili unapitia hali isiyo ya kawaida inayohitaji uchunguzi wa kitaalamu.
Kwa nini ujenzi wa msikiti nchini Japan umezua utata?
Mipango ya kujenga kituo cha Kiislamu katika Fujisawa, mji tulivu wa pwani ulio takribani saa moja kwa gari kusini mwa Tokyo, imeibua hisia tofauti miongoni mwa wakazi.
Wanawake 6 wenye ushawishi mkubwa zaidi Afrika
Kulingana na McKinsey na Lean In, ni asilimia 54 pekee ya kampuni zimeweka kipaumbele ya kuwasaidia wafanyakazi wanawake kupanda ngazi za uongozi, ikilinganishwa na asilimia 90 miaka minne iliyopita.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Nchimbi awaambia Watanzania: "Pambaneni mpate Katiba mpya"
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt Emmanuel Nchimbi, amewataka Watanzania kuendelea kudai kupatikana kwa Katiba mpya yenye maridhiano ya kitaifa, akisema ndiyo msingi wa kuimarisha haki za binadamu, utawala bora na demokrasia nchini.
Ukigundua miili 40,000 ilizikiwa chini ya nyumba yako utafanyaje?
Wanahistoria walikuwa wakijua kwa muda mrefu kuhusu uwepo wa makaburi hayo kupitia kumbukumbu za makanisa, lakini eneo lake halisi lilikuwa limepotelea chini ya ardhi wakati jiji lilipokuwa likipanuka.
'Baada ya kuthibitishwa kuwa nina ugonjwa huu nilitamani kufa'
Kulingana na Nduta ugonjwa huu una dalili zaidi ya 40 na kila mmoja ana dalili zake. Lakini anachokijua ni kwamba kadiri miaka inavyoongezeka ndivyo hali ya ugonjwa huu inavyoendelea kuwa mbaya.
Nchi sita zinazowavutia watalii zaidi barani Afrika
Sawa na maeneo mengine ya duniani, Afrika inaendelea kuwavutia watalii wa kimataifa mwaka wa 2026.
Mlima Kallang uko wapi na kwa nini Trump anautolea vitisho vya kuushambulia?
Katika vitisho vyake vya hivi karibuni dhidi ya Iran, Rais wa Marekani Donald Trump amelitaja eneo ambalo halijulikani sana ikilinganishwa na vituo vingine vya nyuklia, "Koh Kalang," eneo la chini ya ardhi lililo karibu na kituo cha nyuklia cha Natanz.
Freemasons waelezea taratibu zao na faida za kuwa mwanachama
Kuanzia salamu za siri za mikono na kukunja ncha za suruali hadi tuhuma za upendeleo kwa watu wa karibu, uonevu na kukandamiza mageuzi, sifa ya Freemasons haijawahi kuwa nzuri wakati wote.
Jumuiya ya Madola yapendekeza kesi ya Tundu Lissu 'imalizwe' ndani ya siku 30
Jumuiya ya madola imeitaka serikali ya Tanzania kutafuta ufumbuzi wa kisiasa na kisheria kumaliza kesi inayomkabili kiongozi wa upinzani nchni humo Tundu Lissu
Vyuo 10 bora Afrika Mashariki 2026
Elimu inasalia kuwa mojawapo ya vichocheo muhimu zaidi vya maendeleo kote Afrika, na Afrika Mashariki haijabaguliwa.
Kwa nini Kenya inapaswa kuwa na wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa magenge ya wahuni?
Mwaka wa 2026 umeshuhudia visa vya kutisha vya uhuni ambavyo mpaka leo ni wachache ambao wamekamatwa na kufikishwa mahakamani kukabiliwa na mashtaka.
Kiongozi Mkuu wa Iran Mojtaba Khamenei yuko wapi?
Mojtaba Khamenei, ambaye alitangazwa kuteuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Iran, ndani ya wiki moja tangu kuuawa kwa baba yake, bado hajaonekana hadharani.
Kwa nini wanaume na wanawake wana sauti tofauti?
Ili kuelewa ni kwa nini wanaume na wanawake wana sauti tofauti, tunapaswa kuangalia kwanza injini kuu ya sauti: zoloto au kisanduku cha sauti na mikunjo inayosababisha sauti iliyo ndani yake.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 31 Julai 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 30 Julai 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 30 Julai 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 30 Julai 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani























































