Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wachezaji waliosajiliwa dakika za mwisho England
Kandarasi zote mpya kabla ya dakika ya mwisho ya dirisha la uhamisho England
Moja kwa moja
Je Dybala anaelekea kujiunga na Tottenham?
West Brom inafanya mazungumzo kumsajili Charlie Austin
Je Maguire ana thamani ya £80m?
Miaka mitano iliyopita Harry Maguire alikuwa akicheza katika ligi ya daraja la kwanza .
Sasa ndiye beki ghali zaidi dunia. Je Maguire ana thamani ya £80m.
Kalvin Phillips anaelekea Sheff Utd?
Natumai hamjambo