Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Tanzania na Kenya zalazwa Afcon
Ni mechi zitakazoamua iwapo kenya itaendelea na michuano hiyo ya Afcon ama itafunga virago na Tanzania na kuyaaga mashindano hayo
Moja kwa moja
Kipindi cha pili kinaanza
Algeria 3-0 Tanzania
Kenya 0-0 Senegal
Kenya 0-0 Senegal
Algeria 3-0 Tanzania
Na kipindi cha kwanza kinakamilika
Gooooooal Algeria wanapata bao la tatu dhidi ya Tanzania
Kipindi cha kwanza kinakaribia kukatika
Tanzania 0-1 Algeria
Kenya 0-0 Senegala
Tanzania 0-2 Algeria
Hii inamaanisha kwamba wajukuu hawa wa mwanzilishi wa taifa la Tanzania Juluis kambarage Nyerere wanakwenda nyumbani
Goooooooal Algeria wanafunga goli la
Mashabiki wa Algeria wanasherehekea bao la timu yao
Algeria 1-0 Tanzania
Gooooooooal Algeria 1-0 Tanzania
Slimane aifungia Algeria kunako dakika ya 53
Tanzania wanaizuilia Algeria hapa
Mane anapigaaaaaa kipa anachukua hapa
Lo Kipa matasi anadaka mpira
Penalti Senegal wanapata hapa
Sadio Mane anajaribu kupenya lango la kenya lakini wanakataa walinzi
Tanzania wanaonyesha mchezo mzuri dhidi ya Algeria
Wanafanya mashambulizi vijana wa Magufuli hawa
Algeria tayari wamefuzu katika kundi hili
Dakika ya 10
Tanzania 0-0 Algeria
Kenya 0-0 Senegal
Algeria wakosa goli la wazi hapa
dakika ya 9
Algeria 0-0 Tanzania