Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.

Bofya kuelekea tovuti kuu

Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data

Tanzania na Kenya zalazwa Afcon

Ni mechi zitakazoamua iwapo kenya itaendelea na michuano hiyo ya Afcon ama itafunga virago na Tanzania na kuyaaga mashindano hayo

Moja kwa moja

  1. Mchezaji bora wa mechi Adam Ounas

  2. Algeria walaza Tanzania 3-0

  3. Senegal yafuzu

  4. Mchezaji bora wa Mechi

  5. Sadio Mane

  6. Takwimu Kenya vs Senegal

  7. Takwimu Tanzania vs Algeria

  8. Na mchezo unakamilika

    Kenya na Tanzania wanafunga Virango afcon

  9. Tanzania wakosa bao la kufutia machozi

  10. Senegal 3-0 Kenya

    Senegal wanapata penalti na mchezaji wa kenya anapigwa kadi nyekundu

    Sadio maneeeeeee goooooal anaifungia Senegal bao lake la tatu

  11. Sadio Mane anafunga

  12. Kenya 0-2 Senegal

  13. Mashabiki wa Algeria

  14. Senegal wainyamazisha Kenya

  15. Senegal 1-0 Kenya

  16. Goooooooal Senegal wanafunga goli hapa

  17. Kenya inafanya mashambulizi katika lango la Senegal

  18. Sadio Mane anapigwa kadi ya njano

  19. Kipa matasi anaiokolea Kenya kwa mara nyengine

  20. Algeria 3-0 Tanzania