Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ofisi ya Bobi Wine yavamiwa Uganda
Ofisi ya chama cha mgombea wa Urais nchini Robert Kyagulanyi, al maarufu Bobi imevamiwa na makumi ya wanajeshi wenye silaha pamoja na maafisa wa polisi.
Moja kwa moja
Dinah Gahamanyi
Je nini kilichomkera Kim Jong-un wakati wa hotuba?
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un alijawa na hisia chungu nzima wakati wa hotuba katika hafla ya gwaride la kijeshi wikendi iliopita.https://bbc.com.im/swahili/habari-54534724%3C/a%3E%3C/p%3E%3C/div%3E%3C/div%3E%3C/article%3E%3C/li%3E%3Cli class="css-xxlek1">
Wakuu wa shule Kenya watahadharishwa dhidi ya kuwanyunyizia 'dawa' wanafunzi
Ofisi ya Bobi Wine yavamiwa
Moto uliowaka katika Mlima Kilimanjaro umedhibitiwa, asema Waziri Kigwangala
, Facebook 'kukabiliana na taarifa za upotoshaji' kabla ya uchaguzi wa Tanzania
Wanasayansi waonya juu ya kutokea kwa ‘mkasa mwingine wa volkano’ DRC
Muasisi wa Taifa la Tanzania hayati mwalimu Julius Kambarage Nyerere akumbukwa
Kikosi kipya cha polisi chaundwa kuchukua nafasi ya kikosi 'katili' Nigeria
Rwanda yahalalisha mauzo ya nje ya bangi kwa matumizi ya dawa
Hujambo na karibu kwa matangazo yetu mubashara leo Jumatano tarehe 14.10.2020