Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.

Bofya kuelekea tovuti kuu

Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data

Algeria wailaza Senegal kushinda ubingwa wa Afcon 2019

Timu ya taifa ya Algeria imeilaza Senegal katika fainali za kombe la Afcon mjini Cairo

Moja kwa moja

  1. Mechi inaendelea huku Algeria ikiwa kifua mbele

  2. , Sherehe za afcon

  3. Gooooooal Algeria inajipatia bao la kwanza

    Algeria 1-0 Senegal

  4. Mechi inaanza

    Algeria 0-0 Senegal

  5. Algeria vs Senegal

  6. Mashabiki wakipeperusha bendere za timu zote mbili

  7. Maandalizi ya mwisho mwisho

  8. Wachezaji wa kila timu watakaoshiriki

  9. Natumai hamjambo