Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.

Bofya kuelekea tovuti kuu

Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data

Algeria wailaza Senegal kushinda ubingwa wa Afcon 2019

Timu ya taifa ya Algeria imeilaza Senegal katika fainali za kombe la Afcon mjini Cairo

Moja kwa moja

  1. Anapiga na kipa ananyaka

    Alimlenga kipa baada ya mpira hule kuvuka ukuta uliowekwa na wachezaji wa Algeria

  2. Senegal wanapiga mkwaju wa adhabu

  3. Eto akilibeba kombe

  4. Senegal wanafanya mashambulizi kupitia Sadio Mane

  5. Algeria 1-0 Senegal

    Nilitazama mechi ya kutafuta mshindi wa tatu na goli lililofungwa mapema ndilo lililoamua matokeo

  6. Je bao la pili litakamilisha matokeo?

    Je bao la pili la Algeria litakamilisha matokeo ya mechi hii?

    Sio kana kwamba wanaonekana kwamba wataongeza goli.

    Wanafanya mashambulizi ambayo hayajazaa matunda

  7. Mane anaunawa mpira

  8. Algeria inaanza na kasi katika kipindi cha

    Dakika 48

  9. Algeria 1-0 Senegal

  10. Na kipindi cha pili kinaanza

  11. Wachezaji wa Senegal

  12. Na kipindi cha kwanza kinakamilika

    Algeria 1-0 Senegal

  13. Kikosi cha Algeria

  14. Senegal wanapiga kambi katika lango la Algeria

  15. Senegal wanafanya mashambulizi hapa lo lo bahati haisimama

  16. Dakika mbili za ziada

  17. Wachezaji wote wa Algeria wamerudi nyuma kulinda lango lao

  18. Senegal wanajaribu kushambulia lango la Algeria

  19. Mashabiki wa timu zote mbili walivyojaza uwanja

  20. Wachezaji wa timu zote mbili kabla ya mechi kuanza