Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Watu 355 wakamatwa wakati wa maandamano ya kumbukumbu ya miaka miwili - Waziri wa Usalama
Waziri wa Usalama amesema maeneo mengi ya nchi yalibaki na utulivu, bila kuripotiwa matukio makubwa ya uporaji, uharibifu wa mali, mapigano au majeruhi.
Muhtasari
- Video yaonyesha watu wakikimbia jengo lililokuwa likiporomoka pembezoni mwa Caracas
- Watu 355 wakamatwa Kenya wakati wa maandamano ya kumbukumbu ya miaka miwili - Waziri wa Usalama
- Hali ilivyo katika maeneo mbalimbali nchi Kenya
- Kumbukumbu ya maandamano ya Gen Z: Hali ilivyo katika Picha jijini Nairobi
- Inspekta Jenerali wa Polisi Kenya asema nchi iko salama
- Maafisa wa polisi wakamata waandamaji katikati mwa jiji la Nairobi
- Familia za waathiriwa wa maandamano ya Gen-Z waadhimisha kumbukumbu ya miaka miwili
- DRC kuwaweka karantini kwa siku 21 wasafiri kutoka nchi nyingine
- Tetemeko la ardhi ya Venezuela: Watu 32 wafariki dunia, mamia wajeruhiwa
- Wanaharakati na viongozi wa upinzani Kenya wawakumbuka waliouawa katika maadanamano ya Gen Z 2024
- Maandamano Kenya: Gachagua adai serikali 'inafadhili wahalifu' kuvuruga maandamano ya kumbukumu ya Juni 25
- Kombe la Dunia 2026: Afrika Kusini yafuzu raundi ya pili baada ya kuilaza Korea Kaskazini
- Polisi Kenya wafunga barabara kuu Nairobi wakihofia maandamano
- Kombe la Dunia: Morocco yafuzu kwa hatua ya 32 kwa ushindi wa kusisimua dhidi ya Haiti
- Italia yamkosoa Katibu Mkuu wa NATO
- Trump: Iran inapaswa kukubaliana na kila kitu ninachotaka
- Marekani kuiuzia Uturuki injini za ndege za kivita zenye thamani ya mamilioni ya dola
- Kwa picha: Hofu na wasiwasi katika mitaa ya Caracas
- Matetemeko makubwa ya ardhi yakumba Venezuela na kuangusha majengo Caracas
Moja kwa moja
Na Ambia Hirsi & Asha Juma