Makumi ya meli zimepita Mlango Bahari wa Hormuz baada ya Marekani na Iran kusaini makubaliano
Hata hivyo, idadi hiyo bado iko chini ya wastani wa kabla ya mzozo huo, ambapo takriban meli 138 zilikuwa zikivuka kila siku.
Muhtasari
- Makumi ya meli zimepita katika Mlango Bahari wa Hormuz baada ya Marekani na Iran kusaini makubaliano
- Kupunguzwa ufadhili wa HIV Afrika Kusini kunaweza kupoteza maisha - UN
- Hatua zilizochukuliwa kukabiliana na Ebola DRC zaonyesha ufanisi - WHO
- Familia ya rais wa zamani wa Zambia yashinda vita vya kisheria juu ya atakapozikwa Lungu
- Idadi ya waliokufa kwa wimbi la joto kali yaongezeka Ufaransa
- Waziri wa afya Kenya aomba msamaha juu ya Kituo cha Ebola cha Marekani
- Upinzani Sudan Kusini waonya kuwa nchi haiko tayari kwa Uchaguzi Mkuu
- Dettol yaomba radhi baada ya tangazo lake jipya China kwenda mrama
- Kombe la Dunia 2026: Algeria yaiondoa Jordan hatua ya makundi, Ufaransa yaichapa Iraq 3-0
- Mauzo ya makaa ya mawe na gesi ya Australia yanakiuka haki za binadamu UN yaelezwa
- Mwanamke afariki baada ya gari la Tesla kutoka barabarani na kugonga nyumba
- Pesa za kikombozi zasababisha kifo cha Nancy Guthrie
- Iran yakanusha madai ya Vance kuhusu wakaguzi wa nyuklia
- Lionel Messi mfungaji bora wa muda wote kwenye Kombe la Dunia
- Pacha waoa pacha katika harusi ya pamoja Nigeria
- Trump: Sehemu ya fedha za Iran zimeachiwa na zitatumika kununua chakula


















