Urusi na Ukraine: Daraja linalounganisha Urusi na eneo la Crimea lililonyakuliwa na Urusi 2014 lachomeka moto

Maelezo ya video, Tazama: Moto na moshi waonekana ukifuka katika dara la Crimea baada ya mipuko kuripotiwa
Iliyochapishwa
Muda wa kusoma: Dakika 1

Moto mkubwa kwenye kivuko pekee kati ya rasi ya Crimea na Urusi ulisababishwa na mlipuko wa lori, maafisa wa Urusi wanasema.

Mlipuko kwenye sehemu ya barabara ulisababisha maloro ya mafuta kwenye sehemu ya reli kuwaka moto, kabla ya barabara hiyo kuporomoka.

Crimea ilitwaliwa mwaka 2014 na Urusi, ambayo sasa inatumia daraja la Krymskiy kuhamisha vifaa vya kijeshi nchini Ukraine.

Akaunti rasmi ya Twitter ya serikali ya Ukraine ilijibu moto huo kwa kutuma ujumbe kwenye Twitter: "Sickburn."

Mshauri wa Rais wa Ukraine Zelensky, Mykhailo Podolyak, aliutaja uharibifu huo "mwanzo" - lakini hakudai moja kwa moja kuhusika kwa Ukraine.

"Kila kitu haramu lazima kiharibiwe, kila kilichoibiwa lazima kirudishwe Ukraine, kila kitu kinachokaliwa na Urusi lazima kichukuliwe,"

Ruka X ujumbe, 1
Ruhusu maudhui? (Mitandao ya kijamii)

Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue

Onyo: Imetoka kwingine na inaweza kuwa na matangazo

Mwisho wa X ujumbe, 1

Ruka X ujumbe, 2
Ruhusu maudhui? (Mitandao ya kijamii)

Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue

Onyo: Imetoka kwingine na inaweza kuwa na matangazo

Mwisho wa X ujumbe, 2