Kwa Picha: Sherehe za Krismasi kote duniani

Iliyochapishwa

Watu kote duniani wanasherehekea siku kuu ya krisimasi mojawapo ya siku takatifu duniani katika kalenda ya Wakristo.

Lakini ibada za mwaka huu makanisani na matukio yake yanahudhuriwa na watu wachache kutokana na mlipuko wa virusi vya corona .

Kukaa mbali na kuvaa barakoa kwa sasa ni lazima.

Nchini Australia mavazi ya Krisimasi ndio yaliotumika katika ufukwe wa bahari wa Bondi

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Nchini Australia mavazi ya Krisimasi ndio yaliotumika katika ufukwe wa bahari wa Bondi
Papa Francis aliongoza mkesha wa siku kuu ya Krisimasi katika kanisa la St Peter's Basilica mjini Vatican kabla ya waliohudhuria kupunguzwa

Chanzo cha picha, EPA

Maelezo ya picha, Papa Francis aliongoza mkesha wa siku kuu ya Krisimasi katika kanisa la St Peter's Basilica mjini Vatican kabla ya waliohudhuria kupunguzwa
Papa Francis amesema kwamba sikuu ya Krisimasi ulikuwa muda sio wa kuomba msamaha bali kuwapatia faraja wengine

Chanzo cha picha, EPA

Maelezo ya picha, Papa Francis amesema kwamba sikuu ya Krisimasi ulikuwa muda sio wa kuomba msamaha bali kuwapatia faraja wengine
Ibada ya usiku ambayo ni maarufu ilifanyika mapema kutokana na masharti ya kutotoka nje usiku . Takriban watu 100 walihudhuria hafla hiyo

Chanzo cha picha, EPA

Maelezo ya picha, Ibada ya usiku ambayo ni maarufu ilifanyika mapema kutokana na masharti ya kutotoka nje usiku . Takriban watu 100 walihudhuria hafla hiyo
Nchini India, watoto waliwasha mishumaa katika lango la kanisa la Sacred Heart Cathedral mjini Delhi

Chanzo cha picha, EPA

Maelezo ya picha, Nchini India, watoto waliwasha mishumaa katika lango la kanisa la Sacred Heart Cathedral mjini Delhi
Wanawake hawa waliomba polepole wakati wa ibada hiyo iliofanyika katika kania la St Andrew mjini Karachi, Pakistan

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Wanawake hawa waliomba polepole wakati wa ibada hiyo iliofanyika katika kania la St Andrew mjini Karachi, Pakistan
Nchini Uingereza , wakaazi wa kijiji cha Woodend, Northamptonshire, walipamba nyumba zao kabla ya siku kuu ya Krisimasi

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Nchini Uingereza , wakaazi wa kijiji cha Woodend, Northamptonshire, walipamba nyumba zao kabla ya siku kuu ya Krisimasi
Nchini Iraq, watu walikongamana kando ya moto wakati wa Ibada iliofanyika katika kanisa la Virgin Mary Church mjini Baghdad

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Nchini Iraq, watu walikongamana kando ya moto wakati wa Ibada iliofanyika katika kanisa la Virgin Mary Church mjini Baghdad
Na kulikuwa na shangwe na vigelegele katika kituo hiki cha wazee katika eneo la Santiago nchini Uhispania

Chanzo cha picha, EPA

Maelezo ya picha, Na kulikuwa na shangwe na vigelegele katika kituo hiki cha wazee katika eneo la Santiago nchini Uhispania

All pictures copyright