Katika picha: Madhara yaliyojitokeza baada ya mlipuko wa Beirut

Madhara ya baada ya tukio la mlipuko mjini Beirut

Chanzo cha picha, Reuters

Iliyochapishwa

Mji wa Beirut, mji mkuu wa Lebanon, umetikisika kutokana na mlipuko, uliogharimu maisha ya watu na kusababisha majeraha kwa maelfu ya watu na uharibifu mkubwa.

Kuna Ripotikuwa mlipuko ulisikika umbali wa mamia ya kilomita visiwa vya Cyprus.

Maafisa wamelaumu mlipuko huo uliotokea kwenye karakana iliyotunza tani elfu kadhaa za kemikali ya ammonium nitrate kwa miaka sita.

Haijajulikana kitu gani hasa kilisababisha mlipuko huo.

Picha ya juu ikionesha uharibifu uliotokea katika eneo la bandari mjini Beirut na maeneo yanayozunguka, siku moja baada ya mlipuko

Chanzo cha picha, Getty Images

Mnara ulioharibiwa unaonekana katikati ya kifusi baada ya mlipuko wa jana 4, Agosti 2020 katika bandari ya mji mkuu wa Lebanon

Chanzo cha picha, Getty Images

Meli ikiwaka moto katika bandari ya Beirut baada ya mlipuko kutokea, tarehe 4 mwezi Agosti

Chanzo cha picha, Getty Images

A helikopta ikiwaka moto

Chanzo cha picha, Getty Images

Mtaa ukiwa umeharibiwa kabisa na mlipuko

Chanzo cha picha, Reuters

A man wearing a protective face mask walks past damaged buildings

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, The blast comes as Lebanon struggles with an economic crisis and the global pandemic
Mwanajeshi akiwa katikati ya mitaa ya mji wa Beirut

Chanzo cha picha, Reuters

Eneo lililoharibiwa na mlipuko mjini Beirut

Chanzo cha picha, Reuters

Magari na majengo yanavyoonekana karibu na eneo mlipuko ulipoanzia

Chanzo cha picha, Reuters

Magari mawili yakiwa yamepinduka

Chanzo cha picha, Reuters

Kikosi cha zima moto wakiwa kazini mjini Beirut

Chanzo cha picha, EPA

Wafanyakazi wakiitoa machela hospitali

Chanzo cha picha, Reuters

Mwanaume akiwa amembeba msichana aliyejeruhiwa mjini Beirut

Chanzo cha picha, Getty Images

Mfanyakazi mhamiaji akiwa katika mshtuko baada ya kutokea mlipuko katika bandari ya mjini Beirut

Chanzo cha picha, EPA

All photos subject to copyright.