Katika picha: Madhara yaliyojitokeza baada ya mlipuko wa Beirut

Chanzo cha picha, Reuters
Mji wa Beirut, mji mkuu wa Lebanon, umetikisika kutokana na mlipuko, uliogharimu maisha ya watu na kusababisha majeraha kwa maelfu ya watu na uharibifu mkubwa.
Kuna Ripotikuwa mlipuko ulisikika umbali wa mamia ya kilomita visiwa vya Cyprus.
Maafisa wamelaumu mlipuko huo uliotokea kwenye karakana iliyotunza tani elfu kadhaa za kemikali ya ammonium nitrate kwa miaka sita.
Haijajulikana kitu gani hasa kilisababisha mlipuko huo.

Chanzo cha picha, Getty Images

Chanzo cha picha, Getty Images

Chanzo cha picha, Getty Images

Chanzo cha picha, Getty Images

Chanzo cha picha, Reuters

Chanzo cha picha, Reuters

Chanzo cha picha, Reuters

Chanzo cha picha, Reuters

Chanzo cha picha, Reuters

Chanzo cha picha, Reuters

Chanzo cha picha, EPA

Chanzo cha picha, Reuters

Chanzo cha picha, Getty Images

Chanzo cha picha, EPA
All photos subject to copyright.








