Kwa Picha: Kim Jong-un afanya ziara ya kushtukiza Singapore

Iliyochapishwa

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un alifanya ziara ya kushtukiza katika jiji la Singapore, kabla ya mkutano wake wa kihistoria na Rais wa Marekani Donald Trump.

North Korean leader Kim Jong-un (centre) during an evening tour of Singapore. Photo: 11 June 2018

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Akiandamana na walinzi wake binafsi, Bw Kim aliamua kutembea katika barabara za jiji hilo Jumatatu usiku
Kim Jong-un (centre) in Singapore's Gardens by the Bay. Photo: 11 June 2018

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Kiongozi huyo ambaye kwa kiasi kikubwa maisha yake huwa ya usiri alitembelea bustani ya kisasa ya Gardens by the Bay kwenye ufuo wa bahari
Kim Jong-un (centre) in Singapore. Photo: 11 June 2018

Chanzo cha picha, EPA

Maelezo ya picha, Kisha, alifika katika hoteli ya Marina Bay Sands
Kim Jong-un (right) in Singapore. Photo: 11 June 2018

Chanzo cha picha, Reuters

Maelezo ya picha, Bw Kim, aliandamana na waziri wa mambo ya nje wa Singapore Vivian Balakrishnan, na alieleza Singapore kuwa mji "safi na wa kupendeza"
Kim Jong-un (centre) in Singapore. Photo: 11 June 2018

Chanzo cha picha, AFP

Maelezo ya picha, Alitembea pia kwenye daraja la Jubilee, ambapo alilenga kufahamu zaidi kuhusu mji wa Singapore
Singapore's Foreign Minister Vivian Balakrishnan (centre-left) posed for a selfie with Mr Kim (centre-right)

Chanzo cha picha, AFP

Maelezo ya picha, Bw Balakrishnan alipiga selfie na kiongozi huyo wa Korea Kaskazini

Soma pia:

Picha/AFP