Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Aliyechorwa michoro mingi zaidi akatazwa kufunza
Iliyochapishwa
Mwanamume mmoja aliyechorwa michoro mingi zaidi ya tattoo nchini Ufaransa amesema ameambiwa hawezi kufundisha tena watoto wa shule ya chekechea baada ya mzazi kulalamika kuhusu muonekano wake. Sylvain Helaine ana michoro mwilini mwake, usoni mpaka ulimi, huku mboni zake zikiwa nyeusi kufuatia upasuaji wa macho.Tupe maoni yako bbcswahili.