Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Akimbia mbio za mita tano licha ya saratani
Iliyochapishwa
Mwanamke mmoja mwenye miaka 68 anaeugua saratani ya mapafu, amekimbia mbio za kilo mita tano za Race for life na kuchangisha pesa zitakazosaidia katika utafiti wa saratani katika eneo la Cornwall Uingereza. Tupe maoni yako BBC Swahili.