Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Changamoto za wanakijiji Afrika Kusini wanaokabiliwa na maambukizi
Iliyochapishwa
Tembelea tovuti ya BBC utazame video inayoonyesha kijiji kimoja kilichopo katika hatari ya kuambukizwa virusi vya corona nchini Afrika kusini.
Kijiji hicho hakina maji ya kutosha na pia hospitali ya karibu ikiwa umbali wa kilomita 64.