Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Virusi vya corona: Abiria kuvaa barakoa na glovu katika viwanja vya ndege
Iliyochapishwa
Abiria wanaosafiri katika viwanja kadhaa vya ndege vya Uingereza sasa watahitajika kuvalia barakoa na glavu kwa sababu ya maradhi ya Covid- kumi na tisa. Sheria hio mpya itatumika kwa wale wanaosafiri kupitia viwanja vya ndege vya Manchester, Stansted na East Midlands.Je unadhani hatua hii inafaa kutumikka katika viwanja vyote vya ndege?jsema nasi bbcswahili.