Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Hukumu ya kifo kupitia programu ya zoom Nigeria yashutumiwa
Iliyochapishwa
Shirika la kutetea haki za kibinadam limesema hukumu ya kifo iliotolewa kwa dereva mmoja raia wa Nigeria kupitia programu ya zoom ni unyama na ukatili wa hali ya juu. Hatua hii inajiri baada ya Nigeria kutoa hukumu hiyo kupitia video ya moja kwa moja kwa sababu ya janga la corona. Je unaona ni sawa shughuli za mahakama kundeshwa kupitia programu hizi ?