Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Dalili potofu za Corona zitaondolewa YouTube
Iliyochapishwa
Mtandao wa YouTube umepiga marufuku taarifa yoyote inayohusiana na virusi vya corona ambayo inapingana moja kwa moja na ushauri wa shirika la afya duniani (WHO). Mtandao huo pia umesisitiza kuondoa kitu chochote ambacho hakihusiani na matibabu halisi ya virusi hivyo.