Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili Tanzania
Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili Tanzania
Iliyochapishwa
Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris amewasili nchini Tanzania, tayari kwa kuanza ziara yake ya siku tatu nchini humo.
Ziara hii ya kiserikali inatokana na mwaliko wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan wakati walipokutana jijini Washington mwaka 2022, ikitajwa pamoja na mambo mengine kuwa ni kuimarisha uhusiano wa nchi hizo mbili, sambamba na kuzungumzia maendeleo ya uchumi, mabadiliko ya tabia nchi.
Ziara yake imeanzia Ghana, Tanzania na kisha atamalizia Zambia.
Picha na Nicholas Mtenga.