Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Katika eneo la tukio la vifo vya dhehebu tata la Kenya
Katika eneo la tukio la vifo vya dhehebu tata la Kenya
Iliyochapishwa
Miili ya watu zaidi ya 90 imepatikana katika msitu wa Shakahola mashariki mwa Kenya. Wahanga wanadhaniwa kuwa ni wafuasi wa dhehebu tata la kidini walioshawishiwa kufunga hadi kufa, ili kukutana na Yesu.
Mwandishi wa BBC Afrika Dorcas Wangira anaelezea ni nini kimekuwa kikiendelea katika eneo la tukio la uhalifu.