Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wanaharakati wahimiza maandamano kupinga gharama za chakula Kenya
Wanaharakati wahimiza maandamano kupinga gharama za chakula Kenya
Iliyochapishwa
Wanaharakati nchini Kenya wamehimiza maandamano zaidi kushinikiza serikali ya taifa hilo kushughulikia gharama kubwa za chakula.
Makundi mbalimbali ya wanaharakati yameazimia kuwa na maandamano makubwa zaidi jumalijalo ya watu zaidi ya 1000.
Bei ya unga wa mahindi imepanda na kufikia karibu dola mbili kiwango ambacho Wakenya wengi hawawezi kumudu.