Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Onyo: BBC haihusiki na maudhui ya nje
Mwisho wa X ujumbe
Arsenal yakataa kumuuza Iwobi
Everton wamekataa ombi la dau la £30m kumnunua winga wa Arsenal Alex Iwobi huku ofa ya mkopo ya beki wa Man United Chris Smalling pia ikikataliwa.
Everton inatarajiwa kurudi na ofa ilioimarishwa kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 lakini ofa hiyo italazimiuka kuwa zaidi ya £40m kukubaliwa.
Iwobi hataki kuondoka lakini yuko tayari iwapo makubaliano yataafikiwa.
Chanzo cha picha, Getty Images
Habari za hivi punde, Man City yamsajili Joao Cancelo kutoka Juventus
Manchester City wamekamilisha usajili wa beki wa kulia wa Ureno Joao Cancelo kutoka Juventus kwa dau la £60m.
Makubaliano hayo yatamfanya beki wa City Danilo, 28, kuhamia Juventus kwa dau la £34.1m.
Cancelo, 25, ameweka kandarasi katika katika uwanja wa Etihad hadi 20125 na anakuwa mchezaji wa tatu kusainiwa na klabu hiyo baada ya Angelino na Rodri.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Onyo: BBC haihusiki na maudhui ya nje
Mwisho wa X ujumbe
Ubaguzi dhidi ya Mo Salah kuchunguzwa
Chapisho la kibaguzi katika mtandao wa Twitter lililomlenga mshambuliaji wa Liverpool Mo Salah linachunguzwa na maafisa wa polisi.
Everton inachunguza iwapo ujumbe huo ulitumwa na mtumiaji wa Twitter ambaye ana uhuysiano na klabu hiyo.
Chanzo cha picha, Getty Images
Sessegnon kuhamia Tottenham
Tottenham wameafikia makubaliano na Fulham kumsaini beki wa kushoto wa Uingereza wa timu ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 21 Ryan Sessegnon kwa dau la £25m.
Makubaliano hayo yatafanya kiungo wa kati wa Tottenham Josh Onomah kuhamia Fulham.
Dau hilo la Sessegnon , mwenye umri wa miaka 19 aliyefunga magoli mawili katika mechi 35 msimu uliopita akiichezea Fulham ilioshushwa daraja huenda ikapanda hadi £30m.
Kwa kuongezea Spurs ilipendekeza kumsaini kiungo wa kati wa Real Betis na Argentina Givani lo Celso ambaye atahudumu kwa mkopo wakiwa na sheria ya kumununua kabisa.
Chanzo cha picha, Getty Images
Habari za hivi punde, Lukaku kuhamia Juventus kwa dau la £ 74
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Onyo: BBC haihusiki na maudhui ya nje
Mwisho wa X ujumbe
Je Mbwana Samatta atajiunga na EPL?
Klabu ya Brighton inayocheza ligi ya Primia ya England inaongoza msururu wa klabu zinazomuwania mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta.
Klabu nyengine za England ambazo zinamuwania Samatta ni Aston Villa, Watford, Leicester na Burnley.
Kwa mujibu wa gazeti la The Sun la Uingereza Samatta ana thamani ya Pauni milioni 12.
Samatta ambaye bado ana mwaka mmoja kwenye mkataba wake na mabingwa wa Ubelgiji KRC Genk pia amezivutia klabu za Roma ya Italia na Lyon ya Ufaransa.
Mshambuliaji huyo ambaye aliongoza kwa kupachika mabao msimu uliopita nchini Ubelgiji ameweka wazi kuwa anataka kuelekea nchini England msimu ujao.
"Kwa sasa hivi siwezi kusema sana, ni kitu ambacho kipo kwenye mchakato nasubiria kitakapokuwa tayari na wakati utakapofika nitaweza kukizungumza. Lakini sijioni tena Genk, namuomba Mwenyezi Mungu litimie, lakini ikishindikana bado nina mkataba na Genk," aliiambia runinga ya Azam TV ya Tanzania wiki iliyopita.
Chanzo cha picha, Getty Images
Romelu Lukaku: Inter Milan waafikiana bei na Man United
Inter Milan na Manchester United wameafikiana kuhusu usajili wa mshambuliaji Romelu Lukaku.
Inter sasa itatoo kitita cha pauni milioni 74, dau ambalo Man United walikuwa wakilitaka toka awali.
Lukaku amepigwa faini na United baada ya kukicha mazoezi ya timu hiyo bila ruhusa ya uongozi, ikiwa ni sehemu ya jitihada zake kuchochea uhamisho.
Mchezaji huyo amekuwa akifanya mazoezi na klabu yake ya zamani Anderlecht kwa siku mbili zilizopita.
Ajenti wa Lukaku, Federico Pastorello, alilazimika kwenda jijini London jana ili kukutana na wawakilishi wa Man United ili kulipatia ufumbuzi suala hilo.
Usiku wa jana, Pastorello alituma picha katika mtandao wake wa Instagram akiwa kwenye ndege na Lukaku na kuandika maelezo yafuatayo: "Tayari kwa kupaa. Muelekeo Milano."
Maelezo ya picha, Romelu Lukaku
Habari za hivi punde, Juventus wakataa kumuuza Dybala!
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Onyo: BBC haihusiki na maudhui ya nje
Mwisho wa X ujumbe
Habari za hivi punde, Dybala anakaribia kuandikisha mkataba na Tottenham
Tottenham wanakaribia kufikia makubaliano ya kumsaini mshambuliaji wa Juventus na Argentina Paulo Dybala .
Makubaliano hayo hayajaafikiwa lakini Suprs wana matumaini ya kukamilisha makubaliano hayo kabla ya saa moja zaa za Afrika Mashariki.
Spurs ilianza kumwania Dybala baada ya uhamisho wa kiungo wa kati wa Sporting Lisbon Bruno Fernandes kufeli.
Chanzo cha picha, Getty Images
Habari za hivi punde, Kieran Tierney kutia saini kandarasi ya miaka 5 Arsenal
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Onyo: BBC haihusiki na maudhui ya nje
Mwisho wa X ujumbe
West Ham yamsaini ajeti
West Ham wamekamilisha usajili wa dau la £8m la mchezaji mwenye umri wa miaka 22 raia wa Switzerland na mshambuliaji wa Albian Ajeti kutoka FC Basel.
Ajeti alifunga magoli 15 katka mechi 35 akiichezea klabu hiyo ya Swiss msimu uliopita
Habari za hivi punde, David Luiz ajiunga na Arsenal
Arsenal imeafikia makubaliano na Chelsea kumsaini beki wa kati wa Chelsea David Luiz kwa dau la £8m.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32 raia wa Brazil atatia saini kandarasi ya miaka miwili.
Beki wa kushoto wa Celtic Kieran Tierney naye atajiunga kwa dau la £25m, akitia saini kandarasi ya miaka mitano.
Ukaguzi wa matibabu wa wachezaji wote wawili utafanyika hii leo kabla ya saa moja usiku ambayo ndio saa ya mwisho ya dirisha hilo la uhamisho.
Chanzo cha picha, Getty Images
Neymar anaelekea Real Madrid?
Uhamisho huu sio lazima ufanikiwe leo lakini huenda ukawa bora zaidi msimu huu.
Neymar amehusishwa na uhamisho wa kurudi Bercelona lakini huenda Real Madrid wakashindana na mabingwa hao wa Uhispania kupata saini ya mchezaji huyo.
Gazeti ,moja la Uhispania limeripoti kwamba Real iko tayari kuipatia PSG £ 110m pamoja na kiungo wa kati Luca Modric.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Onyo: BBC haihusiki na maudhui ya nje
Mwisho wa X ujumbe
Mandzukic kwenda Man United?
Manchester United imerudia mazungumzo yake na mshambuliaji wa Juventus Mario Mandzukic kutoka Juventus kuchukua mahala pake Romelu Lukaku kulingana na chombo cha habari cha Sky nchini Italy.
Chanzo cha picha, Getty Images
Maelezo ya picha, Mshambuliaji wa Juventus Mandzukic