BBC idhaa ya Kiajemi imepokea video kutoka kwa wakazi wa Isfahan
Idhaa ya Kiajemi ya BBC inaripoti kwamba imetumwa video kadhaa zilizochukuliwa na wakaazi wa mkoa wa Isfahan katikati mwa Iran usiku kucha, ambapo vyombo vya habari vya serikali ya Iran vinaripoti kuwa milipuko imesikika.
Katika video moja iliyowekwa kwenye akaunti ya Instagram ya BBC Persian, sauti za kile kinachoonekana kuwa bunduki za kukinga mashambulizi zinaweza kusikika.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa Instagram ujumbe
