Nchi za magharibi zalaani uchaguzi wa Urusi, India na China zikiunga mkono ushindi wa Putin

Hakuna mgombea anayeaminika wa upinzani aliyeruhusiwa kushiriki katika uchaguzi huo utakaomwezesha Putin kuwa madarakani hadi 2030.

Moja kwa moja

Abdalla Seif Dzungu and Ambia Hirsi

Natumai hujambo