Nchi za magharibi zalaani uchaguzi wa Urusi, India na China zikiunga mkono ushindi wa Putin
Hakuna mgombea anayeaminika wa upinzani aliyeruhusiwa kushiriki katika uchaguzi huo utakaomwezesha Putin kuwa madarakani hadi 2030.
Moja kwa moja
Abdalla Seif Dzungu and Ambia Hirsi
