Waasi wa M23 wauteka mji wa mashariki mwa DR Congo

"Sasa tuko Nyanzale, adui amekimbia," msemaji wa waasi Willy Ngoma aliambia BBC Idhaa ya Maziwa Makuu.

Moja kwa moja

Dinah Gahamanyi, Lizzy Masinga and Asha Juma

Hujambo na karibu kwa matangazo yetu ya mubashara ikiwa leo ni Jumatano terehe 06.03.2024