'Sitaki kumwacha binti yangu aende'
Binti ya Abdullah Teish aliuawa katika shambulizi la anga la Israel lililopiga nyumba yao huko Khan Younis.
Alieleza jinsi ambavyo hakutaka kumwachia huku akiwa amembeba mikononi mwake na kumbusu miguu yake.
"Huyu ni binti yangu, nataka kuwa naye muda mwingi kama nilivyokuwa nae kabla hatujamzika. Walitaka kumfunika uso, lakini nikawaambia hapana, hatufuni nyuso za mashahidi."
Teish alimpeleka barabarani, akiwa amezungukwa na vifusi vya majengo yaliyobomolewa na mashambulizi ya Israel
Mengi zaidi kuhusu mzozo wa Israel-Gaza:
- Mauaji ya Kibbutz:Jinsi Hamas walivyofanya shambulio lisilofikirika
- Uchambuzi:Je, uvamizi wa ardhini wa Israel dhidi ya Gaza unaweza kuafikia malengo yake?
- Historia:Masuala muhimu unayopaswa kujua kuhusu mzozo kati ya Israel na Palestina
- Kiini cha mzozo:Fahamu chanzo cha uhasama kati ya Israel na Palestina
- Hamas:Lifahamu kundi la wapiganaji wa Palestina lililoivamia Israel kupitia angani, baharini na nchi kavu
- Mossad:Mbinu ,mikakati na kuwatumia wanawake katika shirika la ujasusi la Israel walipa ufanisi katika operesheni zake