Urusi yafanya shambulio la tisa la makombora ya masafa marefu ndani ya Ukraine mwezi huu
Mji mkuu wa Ukraine unakabiliwa na mashambulio ya anga ya urusi, amesema meya ya kyiv, likiwa ni shambulio la tisa mwezi huu.
Mji mkuu wa Ukraine unakabiliwa na mashambulio ya anga ya urusi, amesema meya ya kyiv, likiwa ni shambulio la tisa mwezi huu.