Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Urusi yafanya shambulio la tisa la makombora ya masafa marefu ndani ya Ukraine mwezi huu
Mji mkuu wa Ukraine unakabiliwa na mashambulio ya anga ya urusi, amesema meya ya kyiv, likiwa ni shambulio la tisa mwezi huu.