Karibu watu 130 wafariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Rwanda
Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Rwanda imeongezeka hadi kufikia 127, maafisa wanasema.
Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Rwanda imeongezeka hadi kufikia 127, maafisa wanasema.