Karibu watu 130 wafariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Rwanda

Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Rwanda imeongezeka hadi kufikia 127, maafisa wanasema.

Moja kwa moja

Hujambo na karibu tena kwa matangazo yetu ya mubashara leo ikiwa ni tarehe 03.05.2023