Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wanajeshi wa Urusi waua watu 10 katika foleni ya kutafuta mkate-Mwendesha Mashtaka
Aliwataka wanasiasa wa Marekani waliokusanyika kukumbuka kushambuliwa siku za nyuma - katika Bandari ya Pearl mwaka 1941 na tarehe 11 Septemba 2001 - akisema Waukraine walikuwa wakipitia jambo hilo hilo kila siku.