Uchaguzi Tanzania 2020: Kura zaanza kuhesabiwa Tanzania

Raia wa Tanzania hii leo wanashiriki katika shughuli ya uchaguzi mkuu ambapo wanatarajiwa kumchagua rais, wabunge na madiwani

Moja kwa moja

Abdalla Seif Dzungu, Esther Namuhisa and Asha Juma

  1. Uchaguzi Tanzania 2020: Mitandao ya kijamii yaendelea kuminywa Tanzania

    Mtandao wa Twitter umetoa taarifa kwa umma kuhusu kushuhudia kuminywa kwa mtandao huo nchini Tanzania wakati taifa hilo likielekea kwenye uchaguzi mkuu.

    Twitter imesema kufungwa kwa intaneti ni jambo lenye madhara na kuvunja haki za binadamu.

    Ruka X ujumbe
    Ruhusu maudhui? (Mitandao ya kijamii)

    Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue

    Onyo: BBC haihusiki na maudhui ya nje

    Mwisho wa X ujumbe

  2. Uchaguzi 2020 Tanzania: Vituo vya kupigia kura Tanzania tayari vimefunguliwa kwa uchaguzi mkuu

  3. Natumai mumeamka vyema na muko tayari kwa habari za moja kwa moja za uchaguzi wa Tanzania