Uchaguzi Tanzania 2020: Mitandao ya kijamii yaendelea kuminywa Tanzania
Mtandao wa Twitter umetoa taarifa kwa umma kuhusu kushuhudia kuminywa kwa mtandao huo nchini Tanzania wakati taifa hilo likielekea kwenye uchaguzi mkuu.
Twitter imesema kufungwa kwa intaneti ni jambo lenye madhara na kuvunja haki za binadamu.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe
