Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.

Bofya kuelekea tovuti kuu

Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data

Uchaguzi Tanzania 2020: Kura zaanza kuhesabiwa Tanzania

Raia wa Tanzania hii leo wanashiriki katika shughuli ya uchaguzi mkuu ambapo wanatarajiwa kumchagua rais, wabunge na madiwani

Moja kwa moja

Abdalla Seif Dzungu, Esther Namuhisa and Asha Juma

  1. Uchaguzi Tanzania 2020: Mitandao ya kijamii yaendelea kuminywa Tanzania

    Mtandao wa Twitter umetoa taarifa kwa umma kuhusu kushuhudia kuminywa kwa mtandao huo nchini Tanzania wakati taifa hilo likielekea kwenye uchaguzi mkuu.

    Twitter imesema kufungwa kwa intaneti ni jambo lenye madhara na kuvunja haki za binadamu.

  2. Uchaguzi 2020 Tanzania: Vituo vya kupigia kura Tanzania tayari vimefunguliwa kwa uchaguzi mkuu

  3. Natumai mumeamka vyema na muko tayari kwa habari za moja kwa moja za uchaguzi wa Tanzania