Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.

Bofya kuelekea tovuti kuu

Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data

Serikali ya Tanzania kutumia ndege kuzima moto Mlima Kilimanjaro

Serikali ya Tanzania inatazamiwa kutuma helikopta na ndege katika mlima Kilimanjaro nchini Tanzania kujaribu kuuzima moto unaendelea kuwaka kwa siku ya saba sasa.

Moja kwa moja

Dinah Gahamanyi

  1. Na mpaka hapo ndio tunafikia mwisho wa matangazo yetu ya moja kwa moja kwa leo.Tukutane tena hapo kesho.

  2. Uholanzi yaruhusu mauaji ya huruma kwa watoto

  3. Nigeria yapiga marufuku maandamano dhidi ya polisi ‘katili’

  4. Genge la watu wenye mapanga lawashambulia waandamanaji Nigeria

  5. Shule zafunguliwa tena leo Uganda

      • Author, Isack Mumena
      • Nafasi, BBC Swahili Kampala
  6. Rashford apongeza mpango wa ugawaji wa chakula kwa watoto Wales.

  7. Kampeni zaanza Ivory coast kwa ajili ya uchaguzi wa urais

  8. Helikopta kupelekwa katika mlima Kilimanjaro kusaidia kuuzima moto

  9. Bobi Wine adai polisi 'walichukua' nyaraka za uteuzi wake wa urais