Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Serikali ya Tanzania kutumia ndege kuzima moto Mlima Kilimanjaro
Serikali ya Tanzania inatazamiwa kutuma helikopta na ndege katika mlima Kilimanjaro nchini Tanzania kujaribu kuuzima moto unaendelea kuwaka kwa siku ya saba sasa.
Moja kwa moja
Dinah Gahamanyi
Uholanzi yaruhusu mauaji ya huruma kwa watoto
Serikali ya Uholanzi imeidhinisha mipango ya kuruhusu kifo cha mapema au mauaji ya huruma kwa watoto wenye ugonjwa usiopona kati ya mwaka 1 na miaka 12 ...Kwa habari zaidi bofya kiunganishi hiki:https://bbc.com.im/swahili/54556899%3C/a%3E%3C/p%3E%3C/div%3E%3C/div%3E%3C/article%3E%3C/li%3E%3Cli class="css-xxlek1">
Ujerumani yarekodi idadi kubwa zaidi ya waliopatwa na corona kwa siku
Nigeria yapiga marufuku maandamano dhidi ya polisi ‘katili’
Genge la watu wenye mapanga lawashambulia waandamanaji Nigeria
Shule zafunguliwa tena leo Uganda
Maelezo kuhusu taarifa - Author, Isack Mumena
- Nafasi, BBC Swahili Kampala
Rashford apongeza mpango wa ugawaji wa chakula kwa watoto Wales.
Kampeni zaanza Ivory coast kwa ajili ya uchaguzi wa urais
Helikopta kupelekwa katika mlima Kilimanjaro kusaidia kuuzima moto
Bobi Wine adai polisi 'walichukua' nyaraka za uteuzi wake wa urais
Hujambo na karibu kwa matangazo yetu mubashara leo Alhamisi tarehe 15.09.2020