Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Viongozi wa mapinduzi Mali waamuru mipaka ifunguliwe tena
Viongozi wa kijeshi ambao walichukua mamlaka nchini Mali baada ya kumpindua Rais wametangaza kuwa mipaka ardhini na anga itafunguliwa tena leo Ijumaa