Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.

Bofya kuelekea tovuti kuu

Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data

Viongozi wa mapinduzi Mali waamuru mipaka ifunguliwe tena

Viongozi wa kijeshi ambao walichukua mamlaka nchini Mali baada ya kumpindua Rais wametangaza kuwa mipaka ardhini na anga itafunguliwa tena leo Ijumaa