Viongozi wa mapinduzi Mali waamuru mipaka ifunguliwe tena
Viongozi wa kijeshi ambao walichukua mamlaka nchini Mali baada ya kumpindua Rais wametangaza kuwa mipaka ardhini na anga itafunguliwa tena leo Ijumaa
Viongozi wa kijeshi ambao walichukua mamlaka nchini Mali baada ya kumpindua Rais wametangaza kuwa mipaka ardhini na anga itafunguliwa tena leo Ijumaa