CAF lathibitisha kifo cha Hussein Swaleh Mtetu
Shirikisho la soka barani Afrika CAF limetoa taarifa rasmi kuhusu kufariki kwa aliyekuwa katibu mkuu wa shirikisho la taifa na afisa mkuu wa soka Kenya, Hussein Swaleh Mtetu ambaye alikuwa miongoni mwa Wakenya 32 waliofariki.
Inaarifiwa Hussein Swaleh alikuwa anarudi nyumbani baada ya kuhudumu kama kamishna katika ligi ya mabingwa ya CAF katika mechi kati ya Ismaily SC (Misri) na TP Mazembe (Jamhuri ya Kidmeokrasi ya Congo) iliyochezwa Ijumaa huko Alexandria.
Mkala hii imebeba madhui yaliyotoka kwenye mitandao ya kijamii. Tunaomba ruhusa yako kabla kitu chochote hakija pakiwa, sababu wanaweza wakawa wanatumia Cookies na tekinolojia nyingine. Unaweza ukasoma sera sera ya kutumia cookies katika mitandao ya kijamii kabla ya kukubali. Kutazama maudhui haya chagua accept and continue
Mwisho wa X ujumbe






