Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Urusi na Ukraine zaanza duru ya pili ya mazungumzo ya kumaliza vita
Wapatanishi wa Ukraine na Urusi wameanza duru ya pili ya mazungumzo yanayosimamiwa na Marekani siku ya Jumatano huko Abu Dhabi, wakiendeleza juhudi za kumaliza mzozo mkubwa zaidi barani Ulaya tangu Vita vya Pili vya Dunia.
Muhtasari
- Idadi ya vifo katika shambulio huko Nigeria yaongezeka hadi 170
- Mtuhumiwa wa usafirishaji dawa za kulevya raia wa Tanzania akamatwa Zambia
- Muda wa makubaliano ya nyuklia kati ya Urusi na Marekani utafikia mwisho leo
- Urusi na Ukraine zaanza duru ya pili ya mazungumzo ya kumaliza vita
- Watu wasiopungua 35 wameuawa Nigeria baada ya majambazi kuvamia kijiji
- Kocha wa Man City aapa kuwa ataendelea kuzungumzia migogoro ya kimataifa
- China imewakamata waandishi wawili wa habari kwa kuripoti ufisadi
- Shambulio la Israel lauwa watu 17 Gaza
- Elon Musk, mtu wa kwanza duniani kuwa na utajiri wa zaidi ya dola bilioni 800
- Urusi yaishambulia Ukraine na kuwaacha maelfu ya watu kwenye baridi kali
- Watimuliwa kwa uteuzi wa mtu aliyefariki Sudan Kusini
- Faili za Epstein zinaibua kumbukumbu ya 'nyakati za uchungu mwingi katika ndoa yangu' - Melinda Gates
- Uhispania kuwazuia watoto chini ya miaka 16 kutumia mitandao ya kijamii
- Wahamiaji waaga dunia baada ya ajali ya boti pwani ya Ugiriki
- Maelfu ya nyaraka za Epstein zaondolewa kwa umma baada ya waathiriwa kutambuliwa
- Kiongozi wa waasi adai kuhusika na shambulizi la ndege isiyo na rubani Congo
- Marekani yathibitisha kutuma wanajeshi Nigeria
- Saif al-Islam Gaddafi, mwana wa kiongozi wa zamani wa Libya, aripotiwa kuuawa
- Marekani yadungua ndege isiyo na rubani ya Iran
Moja kwa moja
Asha Juma, Beldeen Waliaula & Rashid Abdallah