‘Meli iliyokamatwa na Cocaine nchini El Salvador ilisajiliwa Zanzibar’
Msigwa amesema kwasababu imevunja taratibu, serikali ya Zanzibar tayari imekwishaanza kuchukua hatua na baadaye watatoa taarifa rasmi.
Muhtasari
- 'Meli iliyokamatwa na Cocaine nchini El Salvador ilisajiliwa Zanzibar'
- Nigeria kufanya uchunguzi kuhusu kifo cha mtoto wa mwandishi Chimamanda Ngozi Adichie
- UNICEF yaonesha wasiwasi kuhusu ripoti za mashambulizi ya anga dhidi ya raia nchini Myanmar
- Ushindi wa Real Madrid ni 'kwa kila mtu anayepinga ubaguzi wa rangi'
- Marekani na Iran zaanza mazungumzo yanayoonekana kuwa muhimu ili kuzuia migogoro
- Cuba yasema iliwaua wanne kwa risasi kwenye boti ya mwendo kasi iliyosajiliwa Marekani
- Kim Jong Un asema Korea Kaskazini inaweza 'kuelewana' na Marekani
- Hospitali ya Kenyatta nchini Kenya yafanikiwa kufanya upasuaji wa kwanza wa puto la moyo kwa mtoto aliyezaliwa njiti
- Pendekezo la Tehran kwa Washington laondoa visingizio vyote kuhusu mpango wa nyuklia
- Mshukiwa wa kuwarubuni wakenya kujiunga na jeshi la Urusi akamatwa
- UN yawawekea vikwazo makamanda wanne wa RSF wanaotuhumiwa kwa ukatili Darfur
- Man United ilikataa kumsajili Osimhen 'kwasababu ya Afcon'
- Hezbollah: Shambulio dhidi ya Ali Khamenei ni "mstari mwekundu"
- Mbegu za kiume huogelea kwa kasi zaidi majira ya joto - Utafiti
- Manchester United yapata faida, lakini deni lafikia pauni bilioni 1.3
- Marekani yawekea Iran vikwazo vipya kabla ya duru ya mazungumzo kuanza
- Jordan yasema haitaruhusu anga yake kutumika na Marekani kwa "mvutano wa kikanda"
- Marekani na Iran kufanya mazungumzo huku shinikizo la makubaliano ya nyuklia likiongezeka
- Kuna dalili kwamba Iran inajaribu kufufua shughuli za nyuklia -JD Vance
Moja kwa moja
Na Mariam mjahid
