Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
‘Meli iliyokamatwa na Cocaine nchini El Salvador ilisajiliwa Zanzibar’
Msigwa amesema kwasababu imevunja taratibu, serikali ya Zanzibar tayari imekwishaanza kuchukua hatua na baadaye watatoa taarifa rasmi.
Muhtasari
- 'Meli iliyokamatwa na Cocaine nchini El Salvador ilisajiliwa Zanzibar'
- Nigeria kufanya uchunguzi kuhusu kifo cha mtoto wa mwandishi Chimamanda Ngozi Adichie
- UNICEF yaonesha wasiwasi kuhusu ripoti za mashambulizi ya anga dhidi ya raia nchini Myanmar
- Ushindi wa Real Madrid ni 'kwa kila mtu anayepinga ubaguzi wa rangi'
- Marekani na Iran zaanza mazungumzo yanayoonekana kuwa muhimu ili kuzuia migogoro
- Cuba yasema iliwaua wanne kwa risasi kwenye boti ya mwendo kasi iliyosajiliwa Marekani
- Kim Jong Un asema Korea Kaskazini inaweza 'kuelewana' na Marekani
- Hospitali ya Kenyatta nchini Kenya yafanikiwa kufanya upasuaji wa kwanza wa puto la moyo kwa mtoto aliyezaliwa njiti
- Pendekezo la Tehran kwa Washington laondoa visingizio vyote kuhusu mpango wa nyuklia
- Mshukiwa wa kuwarubuni wakenya kujiunga na jeshi la Urusi akamatwa
- UN yawawekea vikwazo makamanda wanne wa RSF wanaotuhumiwa kwa ukatili Darfur
- Man United ilikataa kumsajili Osimhen 'kwasababu ya Afcon'
- Hezbollah: Shambulio dhidi ya Ali Khamenei ni "mstari mwekundu"
- Mbegu za kiume huogelea kwa kasi zaidi majira ya joto - Utafiti
- Manchester United yapata faida, lakini deni lafikia pauni bilioni 1.3
- Marekani yawekea Iran vikwazo vipya kabla ya duru ya mazungumzo kuanza
- Jordan yasema haitaruhusu anga yake kutumika na Marekani kwa "mvutano wa kikanda"
- Marekani na Iran kufanya mazungumzo huku shinikizo la makubaliano ya nyuklia likiongezeka
- Kuna dalili kwamba Iran inajaribu kufufua shughuli za nyuklia -JD Vance
Moja kwa moja
Na Mariam mjahid