Hujambo na natumai umzima karibu katika matangazo yetu ya moja kwa moja.Tuandamane hadi tamati.
Wanahabari watano kati ya 20 wauawa katika shambulizi la Israel hospitalini - maafisa wa Gaza
Jeshi la Israel linasema lilifanya shambulizi katika eneo la Hospitali ya Nasser na "inajutia madhara yoyote kwa watu wasio husika na vita na kuwa hawalengi waandishi wa habari".
Muhtasari
- Jinsi shambulizi lilivyotokea kama lilivyonaswa moja kwa moja
- Je, tunajua nini hadi sasa kuhusu waandishi wa habari waliouawa katika mashambulizi?
- Arsenal wanataka kumsajili beki wa Bayer Leverkusen Piero Hincapie
- Israel inasema itapunguza wanajeshi nchini Lebanon ikiwa itachukua hatua za kuwapokonya silaha Hezbollah
- Ukraine yaonyesha kombora jipya linalodhaniwa kuwa la Neptune
- Mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na nchi za Ulaya "kufanyika Geneva siku ya Jumanne"
- Saka kukosa mechi kwa wiki nne kwa jeraha
- India itanunua mafuta itakapopata 'kwa bei nzuri', balozi wa nchi hiyo Urusi amesema
- Takriban watu wanane wauawa katika shambulizi la Israel kwenye hospitali ya Gaza, wizara ya afya yasema
- M23 yaituhumu serikali kwa kutumia mamluki wa kigeni katika mashambulizi yanayoendelea
- Vikosi vya wanamgambo vya Sudan vyaongeza mashambulizi ili kudhibiti jiji la al-Fashir
- Warundi wajitokeza kwa wingi kuchagua viongozi wa vijiji na mitaa
- Idadi ya vifo yaongezeka Sanaa baada ya mashambulizi ya anga ya Israel
- Hamas yaishutumu srael kwa "kuchelewesha na kukwepa mambo ," huku idadi ya vifo karibu na vituo vya misaada ikizidi 2,000
- Wanajeshi wa kikosi cha taifa Marekani kubeba silaha Washington kuzuia uhalifu
- Kadi ya kumbukumbu ya Michael Jordan na Kobe Bryant yauzwa kwa rekodi ya dunia
- Mashambulizi ya Ukraine huko Urusi yapandisha bei ya mafuta duniani
- Mashambulizi ya Ukraine huko Urusi yapandisha bei ya mafuta duniani
Moja kwa moja
Na Mariam Mjahid & Asha Juma
