Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.

Bofya kuelekea tovuti kuu

Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data

Iran yakubali pendekezo la usitishaji mapigano la siku 10

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei, amethibitisha kuwa Tehran imekubali pendekezo la wapatanishi la kusitisha mapigano kwa siku 10, lakini haitatoa maelezo yake kwa sasa.

Moja kwa moja

Na Lizzy Masinga & Mariam Mjahid

Habari za asubuhi, karibu katika taarifa zetu hii leo