Iran yaishambulia Israel kwa makombora
Katika taarifa ya video, msemaji wa IDF Daniel Hagari anawaambia watu wafikie eneo lililo salama zaidi katika maeneo yao na kusubiri maagizo zaidi.
Muhtasari
- Mwanamke wa China akamatwa Ujerumani kwa tuhuma za ujasusi
- Iran inajiandaa kuishambulia Israel kwa makombora - Marekani
- Kwa sasa hatupigani moja kwa moja nchini Lebanon - IDF
- Seneta wa Kenya awasilisha hoja ya kujadili mienendo ya Rais
- Kenya: Wabunge waanza mchakato wa kumwondoa naibu rais afisini
- Zaidi ya watoto 20 wahofiwa kufariki katika ajali ya basi nchini Thailand
- Watu milioni moja wamekimbia makazi yao nchini Lebanon - Waziri Mkuu
- 'Wakati mwingine nahisi heri tufe,' mtu aandika kwenye kikundi chetu cha WhatsApp
- Je hii inaweza kuwa Gaza nyingine?, BBC yahoji jeshi la Israel
- Israel yasema Hezbollah inawatumia raia kama 'ngao za binadamu'
- Israel na Hezbollah: Uvamizi wa ardhini unakuja na hatari kwa Israel
- Mbivu na mbichu kujulikana Kenya huku wabunge wakijiandaa kuwasilisha hoja ya kumtimua naibu rais
- Tazama: Milipuko yaonekana kwenye mpaka wa lsrael na Lebanon
- Nyota wa mpira wa kikapu katika NBA Dikembe Mutombo amefariki dunia kutokana na saratani ya ubongo akiwa na umri wa miaka 58
- Israel yasema operesheni ya ardhini "yenye mipaka, na inayolenga" maeneo inaendelea nchini Lebanon
Moja kwa moja
Na Ambia Hirsi & Dinah Gahamanyi
