Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Iran yaishambulia Israel kwa makombora
Katika taarifa ya video, msemaji wa IDF Daniel Hagari anawaambia watu wafikie eneo lililo salama zaidi katika maeneo yao na kusubiri maagizo zaidi.
Muhtasari
- Mwanamke wa China akamatwa Ujerumani kwa tuhuma za ujasusi
- Iran inajiandaa kuishambulia Israel kwa makombora - Marekani
- Kwa sasa hatupigani moja kwa moja nchini Lebanon - IDF
- Seneta wa Kenya awasilisha hoja ya kujadili mienendo ya Rais
- Kenya: Wabunge waanza mchakato wa kumwondoa naibu rais afisini
- Zaidi ya watoto 20 wahofiwa kufariki katika ajali ya basi nchini Thailand
- Watu milioni moja wamekimbia makazi yao nchini Lebanon - Waziri Mkuu
- 'Wakati mwingine nahisi heri tufe,' mtu aandika kwenye kikundi chetu cha WhatsApp
- Je hii inaweza kuwa Gaza nyingine?, BBC yahoji jeshi la Israel
- Israel yasema Hezbollah inawatumia raia kama 'ngao za binadamu'
- Israel na Hezbollah: Uvamizi wa ardhini unakuja na hatari kwa Israel
- Mbivu na mbichu kujulikana Kenya huku wabunge wakijiandaa kuwasilisha hoja ya kumtimua naibu rais
- Tazama: Milipuko yaonekana kwenye mpaka wa lsrael na Lebanon
- Nyota wa mpira wa kikapu katika NBA Dikembe Mutombo amefariki dunia kutokana na saratani ya ubongo akiwa na umri wa miaka 58
- Israel yasema operesheni ya ardhini "yenye mipaka, na inayolenga" maeneo inaendelea nchini Lebanon
Moja kwa moja
Na Ambia Hirsi & Dinah Gahamanyi