Kamanda wa Hezbollah auawa katika shambulio la Israel - ripoti

Makumi ya watu wamejeruhiwa katika shambulizi la Israel dhidi ya mji mkuu wa Lebanon huku makabiliano ya mpakani yakiongezeka.

Muhtasari

  • Magari ya kubebea wagonjwa yawasili katika hospitali za Beirut huku 59 wakijeruhiwa
  • Israel inachunguza tukio la wanajeshi wake kurekodiwa wakitupa miili ya watu kutoka juu ya paa
  • Kamanda wa Hezbollah auawa katika shambulizi la Israel – Ripoti
  • Watu tisa wameuawa, 59 kujeruhiwa - wizara ya afya ya Lebanon
  • Wapalestina 14 wauawa katika mashambulizi ya hivi punde zaidi ya Israel
  • IDF yathibitisha roketi 140 zimerushwa kutoka Lebanon
  • Moshi waongezeka karibu na kijiji cha kusini mwa Lebanon
  • Hezbollah yaanzisha mashambulizi ya roketi kaskazini mwa Israel
  • Makombora yarushwa Israel kutoka Lebanon, yasema IDF
  • Rwanda yaanza kutoa chanjo ya Mpox
  • India yakanusha ripoti ya uhamishaji wa silaha kwenda Ukraine ikisema "ni uvumi"
  • Kiongozi wa Hezbollah aita mashambulizi 'tangazo la vita'
  • IDF yasema shambulio lililenga 'kudunisha' uwezo wa Hezbollah
  • Mwanaharakati aliyetekwa nyara Bob Njagi yuko hai - Rais wa wanasheria
  • Stoltenberg: Kadiri NATO inavyoipa Ukraine silaha, ndivyo fursa ya kupatikana amani inavyoongezeka
  • Israel yasema imepiga mitambo 100 ya makombora ya Hezbollah nchini Lebanon
  • Zaidi ya watu 70,000 waliojitolea kuipigania Urusi wafa Ukraine

Moja kwa moja

Asha Juma, Ambia Hirsi & Lizzy Masinga

Habari za asubuhi, karibu katika taarifa zetu