Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Trump atishia kushambulia vikali Iran kwa kupiga kambi ya jeshi la Marekani nchini Jordan
CENTCOM imeyahusisha mashambulizi hayo na vikosi vya ulinzi wa mapinduzi ya Iran IRGC na kuongeza kuwa makombora hayo yalizuiliwa.
Muhtasari
- Muqtada al-Sadr: Msiigeuze Iraq kuwa uwanja wa vita
- Mmoja wa marubani Iran waliouawa katika kambi ya jeshi la Marekani nchini Qatar atambuliwa
- Maafisa watano wa polisi wa Kenya wauawa katika shambulio la Al-Shabaab
- Zaidi ya mitetemeko midogo 100 yatikisa Japan
- Venezuela yakerwa na kauli iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya nje wa Iran dhidi yake
- Uchunguzi waanzishwa Kenya baada ya tembo 14 kufa katika njia ya kutatanisha
- Iran yakanusha mpango wa kushirikiana na Oman kudhibiti Mlango wa Bahari wa Hormuz - Reuters
- Maafisa watano wa usalama Kenya wauawa katika shambulizi la Al-Shabaab
- Saudi yaungana na Marekani kushambulia wanamgambo wanaoungwa mkono na Iran
- Kenya na Uingereza kuanza tena mafunzo ya pamoja ya kijeshi
- Hali Ilivyokuwa wakati tetemeko kubwa la ardhi lilipoikumba Japan
- Ghana yaomboleza kifo cha mwanaume mrefu zaidi nchini humo
- Uamuzi wa mahakama ya DRC wamfungulia njia ya muhula wa tatu Tshisekedi
- Zelensky, Netanyahu wakutana na Trump huku vita vya Ukraine na Iran vikiendelea
- Waliofariki kwa tetemeko la ardhi Japan wafikia 13
- WAFCON 2026: Nigeria wachapwa na Malawi 3-2
- Iran na Marekani zashambuliana tena, utulivu wa muda mfupi wasambaratika
Moja kwa moja
Na Asha Juma & Ambia Hirsi